TANZANIA COMMISSION FOR SCIENCE AND TECHNOLOGY
(COSTECH)

News

Dkt. Nungu achaguliwa mjumbe wa Governing Board ya GRC

Katika kikao cha 13 cha mwaka Global Research Council (GRC) kinachofanyika Riyadh, Saudi Arabia, Mkurugenzi Mkuu wa  COSTECH Dkt. Amos Nungu amechaguliwa kuwa mjumbe wa Governing Board ya GRC.https://grc2025.kacst.gov.sa/